Follow Me On Instagram https://www.instagram.com/clamcris_/ Tiktok: https://www.tiktok.com/@clam_cris Facebook: …
Limited Time Offer! Get 20% off on all plans of Turbosubdomain Tutorials!
Skip to content Reached the end? Check out our latest offer.
Mmefeli apo watoto kalibia wote kupandisha mashetani wafe kwanini asinge pandisha mmoja na akafa au mkasubili watapo kuwa wanatoka shule mwanafunzi mmoja wao ndo apate tatizo afe kafala iwe imetimia
kwani ni lazima kuvaa suti nyeusi kila siku
Kaniki wangu jaman 😢😢
Kkkkkkkkkk😂 kaniki kawa tajiri munaleta haja kwenye movie kabisa movie iwe hadi 100episod kabisa
Yani big boss ni ya moto kuliko dunia ‘ila watu wadunia wameendekeza mapenzi kuliko uhalisia ‘sasa kula chuma hiki 😂😂😂
Bhailam na kaniki watu Sanaa kwenye hii series
❤❤❤❤
Hahahahahah ahahahhahha apo mwisho clam umepigaje .kwa mchungaji kakuna kichwa 😂 LaZm atajaa tuuu
Kiulizoo aisee😢😢😢😊l
Big boss noma sana clamo anaigiza uhalisia kabisa
Nihatali yani mapenzi.
Ila mnatuchelewa sana kutoa Ep maana sawa na chakuka unasubiri mpaka ladha inaisha mdomoni
Daaha kaniki kaingia kwenye chama bila kupenda masikini
Daaah uyo bro ametaka nimuonee huruma mumewang yan mtoto anamtoa kmaa nyongeza babaake 😂
Nawapenda wote mnao fatilia hii move❤
Kaniki kumbe anajua San kuigiza San yani
Mwanangu kiulizo pole kaka unanikumbusha 2024 Hy dah
Et muombe mung wak akupe pesa😂🤣🤣🤣
KANIKI kapewa kinyago gani AKINYANDUE😂😂😂 me isingesimama AISEE
MashaAllah Sikitu ni mrembo sana🎉🎉❤